Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

FRANCIS MIYAYUSHO na MBWANA MATUMLA watambiana , MPAMBANO JUMAPILI

>> Wednesday, October 26, 2011







Bondia Fransic Miyayusho (kushoto) na Mbwana Matumla wakitunishiana misuri mbele ya waandishi wa habari wakati wa utambulisho wao wa mpambano wa kugombea ubingwa wa UBO jumapili hii katikati ni mratibu wa mpambano huo Mohamedi Bawaziri .





Mratibu wa mpambano wa ngumi Mohamedi Bawaziri  katikati akiwa na mkanda wa ubingwa utakaogombaniwa na mabondia Fadhili Majia (kushoto) na Juma Fundi siku ya jumapili.








Nimetumiwa PICHA na HABARI na:
--
Super D Boxing Coach
Photojournalist at Majira, Business Times
        +255774406938
        Po.Box. 15493
Dar es Salaam Tanzania

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP