Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Wakati NAAMINI TU kwa kuwa ``FULANI ´´ ndiye KASEMA!

>> Monday, October 31, 2011

Ndio,...
..... kuna yaaminiwayo ,...
.... kutokana tu na JINA lioanishwalo na YALIYOSEMWA!:-(


Swali:
  • Lakini si unakumbuka kama LISEMWALO asili yake ni MTU labda BADO yawezekana ``USIKIALO ´´,``LILILOMAANISHWA ´´, na ``LILILOSEMWA ´´ bado ni vitu VITATU TOFAUTI?

Ndio,...
.... labda KUNA ya KWELI yasiyoaminiwa na MTU,...
..... na kisa tu chakutoaminika UKWELI WAKE ni kwa kuwa ni JINA LANGU au LAKO limeoanishwa na KISEMWACHO.

Ni wazo tu hili MKULU!:-(


Hebu turudi kwenye JAZZ pale Africa KUSINI tena ili Winston "Mankunku" Ngozi adinye-The BIRDS



Au tu hebu tu tena Winston "Mankunku" Ngozi aachie - Yakhal' Inkomo





South African Jazz legend Winston "Mankunku" Ngozi born 1943 and died October -11- 2009 of heart related illness,
R.I.P!

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP