Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Ariel SHARON yule aliyewahikuwa Waziri Mkuu ISRAEL bado yuko HAI - na yasemekana WAYAHUDI ndio wawezao kufufua WAFU kama kuna awezaye!

>> Wednesday, October 26, 2011

26 February 1928-.............

Swali:
  • SI unakumbuka ni MIAKA kibao imepita tokea Waziri Mkuu Ariel SHARON awe kwenye ``COMA ´´ na ni mashine tu zifanyazo anapumua na kutoitwa MAREHEMU kiufu?
Ndio,...
... tokea  Januari 4 mwaka  2006 jamaa hajawahi kupepesa UKOPE,..
... na yuko HAI kimtazamo wa WAJANJA.
  
Na unaweza kujikumbusha NDUDE hii,...
...hata kwa kubofya HAPA.
.
TUNAKUMBUSHANA tu KITU MKUU!




Hebu turudi ARUSHA tena kupata SINDIMBA kwechukwechu ,SINDIMBA ngoma ya KIMAKONDE kwa msaada wa MS Ngoma Troupe



Arusha ALLSTARS waingilie kati kwa ndude-ARUSHA





Au tu kiaina TITI ajaribukubadili mchezo mzima  kwa kuingizia ndude- Tayumako

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Goodman Manyanya Phiri 11:44 pm  

Yataka moyo kuyabembeleza maiti yasiachane na roho!

Simon Kitururu 7:55 pm  

@Mkuu GOODMAN: Ndio hapoooo!:-(

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP