Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

HUWA kunatofauti ya HISIA kama ni MHESHIMIWA UHISIYE ndiye aliye JAMBA!:-(

>> Sunday, November 08, 2009

Lakini hata kama hutaki kukiri, ....
.......MHESHIMIWA ni HESHIMA zako tu.:-(





Na kwa BAHATI MBAYA ukiwa na HESHIMA,...
....umheshimuye UTAMJAJI TU mpaka anavyo JAMBA.:-(


Swali:

  • Kwani HUJASTUKIA kuwa hushangai SANA ukisikia usiye MHESHIMU SANA akijamba?
  • Si unajua kutofautisha kujamba vizuri na kunya vibaya?

NAACHA WAZO katika spirit ya kuhisi unajua HILI NI WAZO TU na halina uhusiano WOWOTE na kitendo cha KUJAMBA!


Hebu basi LENNY KRAVITZ arudie nyoko iitwayo-I belong to U


Au tu Seal anyokolishe kwa kitu-This could be HEAVEN


LAKINI nipo MHESHIMIWA kama tu idakwavyo na picha hizi za juzi ya jana nikiwa na WADAU....

Photobucket



Photobucket


Photobucket



Photobucket




Photobucket



Photobucket


Photobucket



Photobucket



Photobucket



Photobucket



Photobucket



Photobucket



Photobucket



Photobucket



Photobucket



Photobucket




Photobucket




Photobucket




Photobucket




Photobucket





Photobucket



Photobucket




Photobucket




Photobucket





Photobucket




Photobucket





Photobucket




Photobucket



Photobucket



Photobucket



Photobucket



Photobucket




Photobucket




Photobucket



Photobucket




Photobucket



Photobucket




Photobucket




Photobucket



Photobucket




Photobucket



Photobucket



Photobucket



Photobucket




Photobucket


Photobucket


Photobucket


Photobucket


Photobucket




Photobucket

5 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Mija Shija Sayi 1:35 pm  

Kirururu hivi nywele zako zina muda gani sasa? na yule dada alikuwa anafanya sanaa gani pale chini akiwa amekaa?

Simon Kitururu 4:14 pm  

@Da Mija: Nywele zangu zina miaka kama Mitano hivi. Huyu Mwanadada Dobet Gnahoré alikuwa anaimba.

chib 6:09 pm  

Ulanzi unaruhusiwa hapo!! :-)

Mija Shija Sayi 11:49 pm  

Asante kwa jibu Kitururu, una nywele sana naona miaka mitano ni michache kwa urefu huo ingekuwa mimi au kaka yangu Majjid Mjengwa nadhani si chini ya miaka ishirini.

Stay blessed.

Simon Kitururu 1:04 am  

@Mkuu CHIB :-)
@Da Mija: Kwa bahati mbaya Nywele zangu hazikui haraka kichwani kote na nahisi baada ya miaka mitano mingine nitakuwa na bonge la kipara kwenye chogo:-(

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP