Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Wakati unastukia MAPISHI YA TANZANIA kwa kawaida hayako kwenye maandishi kwa kuwa VIPIMO KAKARIRI MPISHI.

>> Saturday, November 14, 2009

Kunauwezekano kabisaaaa,...
....mahusiano ya WATANZANIA na KUKARIRI,....
..... kwa yalivyokuwa na mahusiano mazuri/MWANANA, yanaweza kuyashinda KWA UFANISI hata mahusiano ya KINYEO na MAVI!:-(

Na ndani ya TANZANIA ukikutana na BINGWA wa kufaulu aliyefaulu bila KUKARIRI,....
..... basi msifie MWALIMU WAKE kwa kuwa haki ya nani tena ndiye ALIYEANZISHA KUELEWA bila KUKARIRI kwa huyo mwanafunzi ingawa bado WALE MAPROFESA waliofaulu KWA KUKARIRI wanaweza wasimuelewe ajuaye jibu bila kukariri KWAKUWA HATUMII LUGHA WALIYOKARIRI na hawaelewi kuwa hata katika harufu ya MAVI kinukacho si MAVI KAMA WALIVYOKARIRISHWA na ndio maana harufu YA MAVI hiyo yatengenezeka kwa hata majani yaitwayo KIMAVIMAVI.
Swali:
  • Kama unajua kupika UGALI unauhakika hujakariri tu hatua za mapishi na hujui ugali huwa unaivaje pamoja na kuwa unastukia dona lililoiva kwa kuwa umelikariri?

  • Kwani unatakakusema hujastukia mwalimu wako atumiaye kitabu chenye majibu ambaye kama hujakariri vizuri mpaka lugha ya kwenye kitabu anafikiria umekosea kwa kuwa KITABUNI jibu ni kinyeo na ukajibu kuwa JAWABU ni kijambio?
NIMEACHA WAZO MKUU na JUMAMOSI NJEMA Mheshimiwa!

Hebu tubadili kwa kuangalia mtoto akiigilizia..



AU tu tubaki Helsinki, FINLAND, - Nuspirit Helsinki walete-kitu-Honest

1 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 7:36 pm  

Kukariri:-(

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP