SABABU KUBWA za kuona aibu kuvua NGUO MBELE ZA WATU labda wala sio HESHIMA!:-(
>> Thursday, November 12, 2009
Ukifuatilia unaweza kukuta kuwa ULIANZA KUINGIA AIBU ,...
.... za kuvua nguo  kwa kuwa tu ulistukia WAKUTAZAMAO HATA WAZAZI WAKO wewe ukiwa  mtoto , - HATA  kwa wako utoto WAKAKUSTUA ni noma na si ujanja kuacha KIPENGELE NJE  INGAWA HUJUI MATUMIZI YAKE KIKUBWA, kwa kuwa umekaa TU bila nguo.:-(
Na cha ajabu baada ya kuondokana na UTOTO wakubwa HASA WASIO WAZAZI WAKO  wakikuhisi  unavutia KWELI ukiwa uchi ingawa  UNA AIBU,...
... wanaweza mpaka kuanzisha kipengele kwenye MISS TANZANIA cha kukukalisha uchi  -  na KWA KUWA  kama  kikiitwa FASHENI MPYA  na uwaaminio ni wajanja UWAZIMIAO  wanaokushangilia tunaweza tusishangae  ghafla UKITUHUBIRIA unaamini UMEPENDEZA na una BOMBA LA NGUO   kwa kuwa hatuoni KITOBO TU  katika vazi lako likukalishalo uchi wakati unadai umevaa NGUO.:-(
Swali:
- Unauhakika kuvaa nguo KWAKO kama hutishiki na kuacha KITOVU na PAJA nje, maana yake sio tu kuficha VITOBO tu na hilo ni kwa sababu tu unaogopa kukalia miba na wala si kwa sababu Baba Mkwe YUPO?
- Si unajua kuna waaminio kuwa wasiovaa BIKINI ni kwa kuwa TU wana mwili kama MNYOO?
- Unauhakika unapendeza UCHI?
- Unafikiri ni kweli tako la nyani linapendeza kwa FISI hata kama jekundu?
HIli ni WAZO TU na usitishike KINGUNGE ingawa hii sio BIBLIA, TORA, ITIKADI YA CHAMA CHA MAPINDUZI  au wala KORANI!:-(
Hebu twende tena Kameruni Bebe MANGA alete- Mota Benamaa
Au tu ngojea MAFIKIZOLO warudie tu kitu -Nisixoshelani
 
  
 Posts
Posts
 
 




2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:
Kwanza KIDUDE...sasa KITOBO...
@Candy1: Kidude kwa kawaida kina KITOBO!:-(
Post a Comment