Si unakumbuka kila mtu ANANUKA MDOMO ndio maana MSWAKI bomba la MAARUFU?
>> Thursday, November 12, 2009
Ndio BIN-ADAMU WOTE wananuka mdomo na hapa simaanishi wananuka KITUNGUU SWAUMU, kwa hiyo,....
......tunaweza kudai BINADAMU WOTE ni sawa.
......tunaweza kudai BINADAMU WOTE ni sawa.
Lakini kwa kuwa MIMI na WEWE tunajua KUWA kuna wanukao MDOMO ZAIDI kama tu KIKWAPA au tu KAMA kimavimavi kabla hawajapiga MSWAKI - kwa hiyo,....
....  NI KWELI  pamoja na kuwa   BINADAMU INASEMEKANA  ni sawa, BASI katika usawa  si SAWASAWA:-(
Swali :
- Si unakumbuka kwa kawaida ni wengine wakustukiao unanuka MDOMO?
- Na si unajua ukijihisi mwenyewe unanuka MDOMO KIMATAPUTAPU labda inamaana kiendeleacho ni HISIA ZAKO TU na LABDA UNUKACHO ni bonge la Kikoligeti ILIYOCHACHISHWA na UDENDA WAKO uliochacha?
NI WAZO TU HILI MKURUGENZI UNUKIAYE PAFYUMU na MWENYE   kikwapa shwari!
Hebu twende Burundi KHADJA NIN abadili ustaarabu kwa kurudia kitu - SINA MALI , sina deni
Au tu tubakie Burundi Khadja NIN amuongelee -MAMA
 
  
 Posts
Posts
 
 




2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:
Jaribu any London bus on Sunday morning....uuugh!!
@Candy1: :-)
Post a Comment