Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

MUDA!

>> Friday, November 13, 2009

Madhumuni ya MUDA,....


.... labda NI kuhakikisha KILA VITU utakavyo vinanafasi YA PEKEE katika MUDA WAKO ambao ni MMOJA KIBINADAMU,....

.... ili visitokee AU usivipate kwa pamoja VILIVYOOZA na VINONO kwa MARA MOJA na kushindwa kutofautisha TAMU na CHUNGU.


:-(

Swali:
  • Si unajua ukipata kwa mara moja vyote HATA vya MCHUMBA unawezakushindwa kuelewa hivi MCHUMBA ANANUKA au ANANUKIA au - MCHUMBA hivi ni mtamu au ni Maumivu tu na malalamishi ndio kifurushi kitwacho MCHUMBA hata kabla hamjaruhusiwa kunanihii bila dhambi na LIMTU lenye dhambi?
  • Ungepata vyote MUDA HUO HUO unafikiri ungejifunza au ungebaki mjinga- ungetumia muda huo kunya au kula?




NI wazo tu hili kiduchu la kwanini kuna MUDA ndio maana vyote havitokei mara moja ndio maana kuna muda unachupi safi!:-(

Tubadili na kumsikiliza Sting azungumzie-Shape of my heart



Au tu Tevin Campbell azungumzie-Tomorrow

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP