Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Pamoja na KUKU kusifiwa kwa ustaarabu wa kusimama wakati wa kwenda haja , BATA pia ni MSTAARABU kwa staili yake ya BATA !

>> Wednesday, November 04, 2009

Labda si kuku na bata tu BALI ni mpaka kila MTU ni MSTAARABU kama ukiuelewa wake ustaarabu!

Swali:

  • AU?

Kumbuka ingawa KWA WENGINE ustaarabu ni kula kwa MKONO mkekani,...
.....kuna waaminio ustaarabu ni kulia MEZANI kwa VIJITI a.k.a chopu stiki na kudharau ustaarabu wa UMA na KISU.


Kwa hiyo wakati unadharau watu kwa kuwa una TISHU chooni,....
..... kumbuka kuna ambao ustaarabbu ni kuchambia mchanga na mawe au tu wale waaminio kwa dhati katika chambio la maji na huo ustaarabu wa TOILET PAPER kuupiga VISU.

Swali:
  • Si unajua USTAARABU kunauwezekano asilimia kubwa ni JAMBO LAKUFIKIRIKA TU?

NI WAZO TU MHESHIMIWA ingawa nakushauri usiache kuchamba lakini baada ya KUJISAIDIA!

Hebu ARROW warudishe ustaarabu kwa kitu -HOT HOT HOT



Au tu Junior Cat adai- WAR we

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP