Masikini KORODANI BINGWA a.k.a MAKENDE JEMADARI, pamoja na jitihada zako zote za kuzalisha ETI mazao yako karibu yote HUMWAGWA NJE!:-(
>> Saturday, November 14, 2009
[Tahadhari: Wazo limepinda NA  katika lugha labda neno makende /KORODANI ni tusi kwa hiyo ukihisi utakwazika usinisome MHESHIMIWA mstaarabu!:-(]
Naanza wazo....
................
_______________________________________
_______________________________________
Na moja ya USHINDI wa mazao ya KORODANI,...
....kwa kushinda , kwa hakika USHINDI NI HATA kama mtoto ni KILEMA.
....kwa kushinda , kwa hakika USHINDI NI HATA kama mtoto ni KILEMA.
Na kwa kuwa JITIHADA BILIONI za mazao ya KORODANI,...
.... ushindi  WAKE ni  zao moja TU kuliingia  TU moja  la kike  YAI,....
.... labda NI AIBU kwa binadamu mwenye KORODANI kukata tamaa kwa KUWA eti  kajaribu angalau mara mia tu,....
......na  KWA KUWA BINADAMU mara nyingi huamua  KUTOSHINDANA kama anahisi kuna washindanaji wengi, ....
.....LABDA ukilinganisha IDADI YA ASHINDANANAO BINADAMU na kukata TAMAA na UKUBWA WA USHINDANI  wa mbegu za kiume kwa nia tu zake za  kuliingia la kike  MOJA yai , .....
.....udhaifu wa WOGA WA BINADAMU  hata  WA mwenye makende aogopaye  ushindani wa mtu HATA mmoja,....
.....LABDA huo ni KILEMA.:-(
.....LABDA huo ni KILEMA.:-(
Swali:
- Wafikiri katika binadamu sio matunda ya korodani ambayo ni dhaifu kuliko yote kwa mpaka kufanya mcheuo wa kikubwa wenye vielea milioni kushangiliwa kwa kimoja kulenga la kike yai?
- Si unajua ukubwa wa korodani sio idadi ya mafanikio ya mjaza mimba?
- Unafikiri kama BINADAMU ungejua unashindana na mabilioni kupata kazi moja kama mazao ya KORODANI/makende yafanyavyo, bado ungekuwa na motisha wa kushindania hiyo kazi?
NIMEACHA wazo MKUU  na natumaini  unajua najua  kuwa MTU sio shahawa!
TUNAKUMBUSHANA TU MHESHIMIWA ingawa ni kwa mfano mbaya hasa kama HUNIELEWI  na kwa hilo samahani kama topiki imekukwaza MHESHIMIWA!
Hebu tubadili TOPIKI na hali ya hewa kwa kwenda JAPAN kukutana na mwanamziki maarufu UTADA Hikaru arudie kibao-BOKU wa kuma. [Tahadhari: Kumbuka huu wimbo si wa KISWAHILI na kama unabisha sikiliza na soma tafsiri kwenye kideo ingawa labda fikiria mara mbili kabla hujausikiliza na mama mkwe.]
Au Tracy Chapman adai -BABY can I hold U tonight..
Au tu SANCHEZ anyokolishe wimbo wa Tracy Chapman kwa kurudia-Baby can I hold U tonight
 
  
 Posts
Posts
 
 




0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:
Post a Comment