Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

R.I.P Brother Haydain Neale!

>> Wednesday, November 25, 2009


Nilihusudu na NAHUSUDU sana kazi zako Mkubwa!

Ndio!- nilihusudu kazi za bendi yako pia ya JACKSOUL .




Ingawa nimechelewa kustukia umetutoka JUMAPILI iliyopita na sina uhakika kuwa wafu husikiliza waliohai katika stori za: ''MAREHEMU ALIKUWA MTU MZURI!'',....
.........R.I.P brother!




Kwa wasiomjua Haydain Neale ambaye wengine tulizimia kazi zake na JACKSOUL bofya hapa upate fununu ya alikuwa ni nani.

Kazi zako zinaendelea kuishi na mie naendelea kukusikiliza kama hivi katika kitu -Unconditional



Kitu-Shady Day


Au tu kitu-Still Believe In Love

3 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 5:12 pm  

Marehemu astarehe kwa amani peponi amina. Na pole kwa jamii yote pia marafiki wote.

Masangu Matondo Nzuzullima (MMN) 6:11 pm  

RIP. Pumzika salama. Nasi tupo twaja!

Simon Kitururu 10:24 am  

@Profesa: Hapo umesema ''NASI TUPO TWAJA!''

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP