Wakati BINADAMU anajua NYAMA ya mtu sio SUMU!
>> Tuesday, November 10, 2009
[Tahadhari:Wazo limepinda na halimlengi MCHAWI]
Inasemekana NI KAWAIDA ikiwa KUNA awezaye kuua Mtu bila kufikiria kula nyama ya MTU.
Na wakati unaelewa BUSARA za BINADAMU za kutotaka kula watu  HATA wakisikia NJAA,....
... si unaelewa  bado haohao BINADAMU huweza kuua mtu kwa kupigania chakula  kisa NJAA za  KIMTU?Binadamu MWENYE NJAA unaweza USIMTAMBUE.:-(
Swali:
- Ushawahi kujiangalia sura wakati una njaa?
- Wakati unajaribu kumuelewa MUNGU unafikiri BINADAMU anaeleweka?
- Unafikiri DUNIANI kungekuwa na njaa kama BINADAMU ambao ni wauaji wangekuwa wanakula WATU?
HILI ni wazo tu MHESHIMIWA!
Hebu twende ZIMBABWE tena basi George Sibanda abadili kwa kutukumbusha kibao-Guabi Guabi
Au tu Bob Marley arudie kuongelea unafiki katika-Hypocrites
 
  
 Posts
Posts
 
 




0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:
Post a Comment