Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Daladala MBEYA zapandisha NAULI!

>> Thursday, August 11, 2011

Nauli zapanda kutoka sh 300 mpaka sh1000 kituo hadi kituo!



Dala dala za Mbeya zimepandisha nauli kutoka sh 300 mapaka sh 1000 kituo hadi kituo sababu ni kukosekana huduma ya mafuta katika vituo vyote vya mbeya





Hiki ni kituo cha mafuta cha BP Mbeya toka juzi wanasema hawana mafuta

Picha na maelezo,...
.... kutoka MBEYA YETU blog.



Hebu tubadili ,...
... kwa kukumbushwa na TRICKY kuwa -Hell is around the corner

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP