Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

MAUMIVU ya NANILII,...

>> Saturday, August 20, 2011

.....MATUMAINI ya NANIHII,...
.... na FARAJA ziletwazo na NANIHII,...
... ..labda  ni vitu  vyenye UHUSIANO.

Kwahiyo,...
.... labda usilaumu KITU KIKUUMIZACHO,...
... kwa kuwa labda ndicho kijengacho MATUMAINI yako katika MAISHA YAKO ni nini,...
.... kitu kisababishacho unastukia UKIFARIJIKA  kwa kuwa vikuumizavyo vimedadavua ustukiaji wako wa FARAJA zako  hata kama kikufarijicho ni UKOKO tu wa UBWABWA au kuchekewa  na kinuka mkojo!:-(


Swali:
  • AU?
Ndio,...
.... labda jaribu kutafakari ,...
... waweza kustukia uhusiano wa MAUMIVU yako na kikusikilizacho utamu KIFARAJA baada ya kukitumainia halafu kikajilenga kwenye anga zako HALAFU ukakidadavua.:-(
    Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!
    Jumamosi NJEMA!

    Hebu moja kwa moja  Ledisi aanzishe upya na kututoa kwenye hilo wazo hapo juu  kwa- Pieces Of Me



    Brian McKnight aongezee dozi kwa - Anytime



    Babyface azungumzie - Whip Appeal





     Sanchez abadili kabisaaa mchezo huku akiwasakama wasenge kwa -Frenzy



    Kabla  Ziggy Marley hajamalizia ndude  kwa -True to Myself



    2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

    Yasinta Ngonyani 3:38 pm  

    Maumimivu....si utani:-(

    Simon Kitururu 7:10 am  

    @Kapulya: Maumivu yanauma na yanaweza kuanzishwa na utani!:-(

    Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


    Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

    Partner

    save mt. Kenya campaign
    In partnership with africapoint.com

    Taswira BANANGENGE

      © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

    Back to TOP