Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Siku TANZANIA ikifikia lawama ni: WACHACHE wengine ndio WALOLOMAO tu SANA,....

>> Wednesday, August 03, 2011

....LAKINI sie WENGI WENGINE kwa vitendo tunafanya MATUSI aisee !

Swali:
  • Kivitendo unafikiri WATANZANIA tunafanya kweli  KATIKA KIWANGO KIHITAJIKACHO  kama tendo niongelealo sio NGONO, ulevi kidogo na FULU kushabikia ushirikina hata wa KIIMANI za MIBUYU au ramlifulani ambazo sikuhizi zina MAASKOFU na MASHEKHE?

Katika MZANI,....
..... waongeleao KUFANYA  na WAFANYAO kivitendo kama tuongeleacho sio NGONO,....
............ labda usishangae kuwa WAONGELEAO bila vitendo LABDA NI WENGI ZAIDI  katika yale wayalalamikiayo hata kama hayo ni yale ya jinsi tu  ya angalau  NANIHII kubiringishwa!:-(

Swali zaidi:
  • Unabisha?
  • SI angalau VIBAKA, mafisadi, MAJAMBAZI  kama tukiwaruka malaya wakiume na kike  -tunaona matunda ya VITENDO VYAO ambavyo ukikaavibaya stendi  au hata NYUMBANI MWAKO ulipojifungia kwa kufuli unaweza kujikuta umeibiwa hata chupi KAMA stendi ya mabasi Ze BONGO NYOSO na sio ya UBUNGO tu?


Ndio,...
...... labda KIVITENDO tulalamikao tukitenda,...
............ TUWALALAMIKIAO na tuvilalamikiavyo kama ni CCM labda kitakuja kuwa bora zaidi,...
..... na kama ni UMEME labda twaweza kugundua mpaka  siri  ya VYANZO vingine KITATUZI kama tu wasenge walivyogundua  kiuroda hawahitaji UKE wala MWANAMKE na wasagaji walivyogundua kivitendo mkali wa shughuli sio MWANAUME!:-(

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!
Haya tuendelee kwa vitendo!
JUMATANO NJEMA!

Hebu tena hata kama sio wakati wake  FRANCO atupe tu tena -Très Impoli



Franco aongezee dozi ya-Non

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP