WANAWAKE WAAFRIKA wa SHOKA kuanzia yule-CHIWONISO , Dudu MANHENGA, LADY JAYDEE, Miriam MAKEBA....!
>> Thursday, August 18, 2011
Hebu CHIWONISO aanzishe kwa kurudia,...
.... Rebel WOMAN.
Mdada Dudu Manhenga ,...
.............aingilie kati kwa - Turn
DUDU  huyuhuyu aendeleze kwa,...
Tudeku WADADA wa SHOKA wengine pia kistori zao,...
Lura  arudishe ki Cape Verde kwa  -Ooh naia
Lady Jay dee adai pia - Siku Hazigandi 
Au tu CHIWONISO azime manyanga tena kwa -ANCIENT VOICES 
Kabla MIRIAM MAKEBA hajafunza  upya  unyago kabisaaa kwa ndude-KILIMANJARO
Au tu Miriam Makeba huyuhuyu atuache tu  na ujumbe aliowahi kutupa enzi za  KWA WAAFRIKA ujanja ni kupigania uhuru wa WAAFRIKA  kitu ambacho siku hizi ujanja ni  WAAFRIKA kuiba  katika ofisi ziwezazo kusaidia WAAFRIKA  katika - A Luta Continua 
Ndio,...
.... ni nanihino tu hii MHESHIMIWA!
 



2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:
Hongera wanawake wa shoka!!!!hivi hakuna wanaume wa shoka?
@Rachel:Wanaume wa SHOKA si ndio nasikia wanatawala DUNIA?
Ingawa eti hata BABU wa LOLIONDO ni washoka vilevile!
Post a Comment