Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kwa apendeleaye HIKI na sio KILE,....

>> Thursday, May 12, 2011

.... ana lakshari za CHAGUO  huyo ya vya  zaidi ya KITU kimoja!

Kwa kuwa siye WASIO na chaguo   kwetu,...
.... kilichopo ndio hicho hicho DOGODOGO saizi yetu!


Swali:
  • AU?
  • SI unajua kuna wachaguzi wengi huchagua tu kitu kwa wanavyo kifikiria na sio kwa kuwa WAMEONJA na ndio maana kuna wafikiria  BATA wenye sura mbaya sio watamu?
Na kunauwezekano PIA kama UNAPENDELEA HIKI,...
...inamaanisha  ulishawahionja KILE  angalau KIMAWAZO  na na  kama ni HARAMU labda huna UDHU mheshimiwa!:-(

TUNAKUMBUSHANA tu MHESHIMIWA na ni wazo tu HILI  ingawa limepindia kushoto zaidi ya KULIA!:-(

Hebu tu Fulgence &Le Niiljaa warudishe - Fass Bu Nuul



 TITI aingilie kati kwa wimbo-Love U



Titi abonyezebonyeze - Yeena ayee



Au tu TITI abinye tu kabisa- Sy Malick

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

chib 9:15 pm  

:-))
ENJOY WEEKEND MKUU SANA

Simon Kitururu 2:41 pm  

@Mkuu CHIB: Asante Mkuu!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP