Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

YA DUNIA:Couple raising 'gender-free' child /TOTOZ kulelewa bila kujuzwa ni MIDUME au MIJIKE mpaka istukie yenyewe!:-(

>> Wednesday, May 25, 2011

MALEZI ya WATOTO  nayo wee acha tu !:-(


Hebu twende kusikiliza ya Toronto.....




Mie yangu ni MASIKIO tu kwa jinsi,...
.... MALEZI ya WATOTO yaendeleavyo!

Ingawa inasemekana siri ya mengi hapa DUNIANI,....
....ipo pia katika UKWELI watoto hulelewa TOFAUTITOFAUTI!


BAADAYE BASI MKUU!

3 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Shaaban Fundi 10:38 pm  

Nafikiri hawa wazazi wamesahau kwamba malezi ya watoto hayatokei nyumbani pekee bali na mazingira ambayo hawa watoto wanalelewa. Hata kama wanasomeshwa nymbani(home schooling) wana nyakati wanapokwenda kwenya parks na michezoni kuweza kusikia...watoto wengine wakitambulishwa kwa jinsia zao. You can't raise kids in total isolation.

Simon Kitururu 11:10 am  

@Shaaban: Kweli kabisa Mkuu!

Halafu mimi napinga kufanyia experiment watoto mambo hata kama ni ya malezi ya kubahatisha kama haya!

Goodman Manyanya Phiri 5:15 am  

Hawa wanatufikiria sisi ni wajinga.

Kwa sababu wao wamezaa watoto walemavu (mtoto mwemye viungo visiyoeleweka ni vya kike au vya kiume) sasa wanatutaka nasi TO NEUTRALIZE OUR BABIES!

Utamleaje mtoto wakike bila kumpa mifano ya kuigwa (ROLE MODELS) kwa wanawake wenzake?

Vilevile wa kiume umleeje?

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP