Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kwa kuwa KIJAMBIO labda ni hichohicho KINYEO!

>> Sunday, May 15, 2011

Ndio,...
.... Labda BUSTANI   na SHAMBA ni kitu kilekile kama  kilimwacho  katika  SHAMBA na BUSTANI ni  mwidu uleule hata kama  kijina  kwa mtu fulani hilo lote lifichwalo  KIVITENDO  hata kwa  kificha nyeti  kwa lugha nzuri ya MFICHA NYETI  ni MAVUZI TU !:-(

Swali:
  • Si inajulikana kama atapikaye anatumia MDOMO bado ni ukweli kikutapika  UPYA wa kihitajikacho kitapishi  kikutapika LABDA BADO ni MDOMO huohuo tu ?
Ndio,...
...hili ni wazo tu MKUU!

Hebu De Mighty Shadow arudie mbirimbi- Shadow Ting




Na.....










































































10 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 12:27 pm  

nilipoanza kusoma kichwa cha habari nikaanza kusema ama kweli...ila nikatuliza moyo...Ahsante kwa taswira mbalimbali ingependeza kama ungesema upo na nani....na wapi..lol...Halafu huyu mdada na wewe mmependeza kweli:-)

Simon Kitururu 2:00 pm  

@Da Yasinta: Samahani kichwa cha habari hakijavaa chupi !:-(

Huyu MDADA ni mwanasanaa katika tasnia ya uchongaji na ni rafiki tu !

Na sinauhakika nilikuwa na nani ! kwa hiyo nikianza kusema nilikuwa na nani labda ntadanganya!:-(

Yasinta Ngonyani 2:33 pm  

Kuhusu kicha cha habari, duh! kama hakijavaa chupi..Mmmhh!

Niliposema mmependeza nilikuwa na maana katika hiyo picha mmetoka chicha... ni hilo tu.

:-(

Simon Kitururu 2:38 pm  

@Yasinta: Uko na nani?
Unajua na nilipoanza kusoma komenti yako katika habari nikaanza kusema ama kweli.......

Halafu kumbe tumetoka chicha eeh!

Yasinta asante pia kwa kutoacha kunitembelea hapa kijiweni kwangu mtu wangu kipenzi!

Yasinta Ngonyani 2:53 pm  

Mmmmhh! Sijui kama nimekuelewa hapa:-)

Shaaban 7:14 pm  

Kama Yasinta...nami ningependekeza uweke...identification....kwenye taswira hizo. Ni muhimu kujua wapi tokeo lilitokea na usherehekeo wenyewe ni nini? Labda video ya yutubu ingesaidia kukusanya haya maswali na majibu yake. MMMMMhhh, ni katika tafakari na kutafakuri tuu. Swala au suala la "mwidu" mzee...umenikomesha hapo. Ukila mwidu...ushuzi wake...sio salama kuutoa ndani ya blangeti?! Nafikiri unanielewa kwa hilo.

Kibogoji 7:18 pm  

Na...Yasinta, Cheka kidogo basi!! Unaemnunia ni nanihiyo, kihiyo au la?

Yasinta Ngonyani 7:59 pm  

Kibogoji! kucheka, Hata kama nikicheke kidogo huwezi kujua kama nimecheka au nimenuna. Na hapo wala sijanuna....Ni wewe tu unafikiri nimenuna..lol

Unknown 10:38 pm  

Yaani...!!!!

Unknown 12:05 am  

HEBU CHEKII HII NILIYOIKUTA JAMII FORUM

A key producer of methane, cow flatulence is leading cause of global warming. Their slow digestion, mixed with a gas-producing diet of greens, causes excessive methane build-up. The issue is compounded by slaughterhouses, which store thousands of cows in one location, creating large clouds of methane. Neighbors and environmentalists frequently complain about the odor, as well as the negative effects on air quality.

Ireland and Denmark, along with other EU nations, have begun taxing cattle owners on cow flatulence. The “byproducts” of livestock like cows are responsible for approximately 18% of the greenhouse gases that are causing global warming, according to the Food and Agricultural Organization of the UN. Just $18 per cow in Ireland, cow flatulence will cost Danish farmers $110 per cow.

Sijui ikifika kwa Wamasai na Wamang'ati wetu itaendekaje. Staajabia kodi nyingine .

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP