Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

HALIHALISI inamchango katika uamuzi ANDUNJE anapigana kwa kutumia MKUKI , gobole au MANENO gani ya matusi katika VITA!

>> Wednesday, October 05, 2011

Halihalisi  ina MCHANGO WAKE pia,....
.... na inaweza kuwa ndio iamuayo  WATU wanakula KIMA au NGURUWE.:-(

Swali:
  • Si ni mpaka KIMA awepo kihalihalisi ndio anaweza kugeuzwa KITOWEO?
  • Si halihalisi labda ndio huchagulia hata kichaa ni chupi ya aina gani atakayovaa kichwani?
  • Halihalisi si ndiyo  hugeuza kwenye mchwa  watu wagundue kumbikumbi wanalika?


Halihalisi KIBOKO,...
.... kwa kuwa inaweza kuwa na mchango hata KATIKA aelewavyo KITU mtu ,....
..... hata kama KIHALIHALISI  hilo ni shule ya mazingira TU  atokayo MTU na sio CHUO kitoacho VYETI  kafunzacho  nyuma ya udhaniwao ni UJINGA kuna cha busara  awezachojifunza mwerevu MTU.:-(

NI wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(
Hebu tu Jimmy Dludlu arudie -Tote



George Benson arudishe - Breezin'



Au tu tena Mafikizolo wazime kwa -Nisixotshelani


0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP