Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kama akili ni NYWELE, si nywele hupukutika?:-(

>> Wednesday, October 12, 2011

Ndio,...
.... labda chunga ya aliyekuwa na akili JANA,...
.... hata kama huyo  aliye kuwa na akili jana kwako kijina alikuwa ni Simon Kitururu.:-(

Swali:
  • Si wakati mtafiti anachunguza ujinga , mwenye akili jana  katika utafuti wa leo anaweza kuonekana hana akili?
  • Na si yajulikana hata kwa wasifiwao ya jana kiakili kama Albert Einstein hata juzi ya miaka hiyo hawakuwa wanafaulu kila kitu  kitu kifanyacho kuna utakayotafiti kuhusu wao na kustukia UJINGA?


Ndio,...
.... usisahau kuna BUSARA za waliopukutika nywele,...
... hata kama siri ya kupukutika kwao nywele ni UMRI!:-(


Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(







Hebu LESEGO aingizie -Africa Viva



Lesego aongezee-Usindile



Au tu ngoja Ini Kamoze azime kwa - Pirate


2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 10:18 am  

Ujumbe umefika mtakatifu...je hii ni sawa ni hii wasemayo kuna mvi za busara ambazo mtu huzipata tangu udogo/utoto na kuna mvi za busara ambazo watu hupata ukubwani/dalili ya uzee?

Simon Kitururu 8:16 am  

@Yasinta: wala sijui kiuhakiaka mwayego !:-(

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP