Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Ukinywa MAJI , LABDA jiandae kukojoa!,...

>> Saturday, October 08, 2011

Swali kwa ung'eng'e:

  • Sounds simple and straight foward, right?
Ndio,...
... kuna washangazwao na ufikiriayo yako wazi aisee,....
.....na moja ya lililowazi ni kuwa MTU chini ya nguo yuko uchi.
Swali:
  • Si umestukia kuna washangaao MTU akiwa uchi hata kimawazo wayajuayo yapo?
Ndio,...
.... katika kuwa UCHI ,...
.... labda  kishangazacho ZAIDI ni kuwa kuna washangaao!:-(



NI wazo tu hili MHESHIMIWA!
Tubadilishiwe wazo na Joti katika - Jibwa Koko



Halafu Ferre Gola na Heritier Watanabe wabadili tena kwa - Nostalgie




Halafu Pepe Kalle azime tena kibolingo  zaidi kwa -Pon moun paka bouger

6 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 5:01 pm  

Jumamosi njema kaka mpendwa Simon Kitururu na ahsante kwa wazo la leo!

Simon Kitururu 5:04 pm  

Jumamosi njema kwako pia mtu wangu! Na samahani wazo limepinda!:-(

EDNA 5:49 pm  

Nimepita hapa kukutakia mwisho mwema wa wiki mtu wangu.

Simon Kitururu 5:57 pm  

@Edna: Wikiendi njema kwako pia mtu wangu!

sam mbogo 6:55 pm  

Hivi ikiwa, ukinywa maji jiandae kwenda haja ndogo. hapana lakini yawezekana nisahihi kukojowa. laikni neno jiaandae,hapo ndiyo penyewe waweza jiandaa na kitu kisitokee,je uki mpiga mtu yawezekana ukajiandaa kupelekwa/kwenda polisi.halafu kunakiwango,je umekuywa maji hayo kiasi gani? umempiga mtu huyo kwakiasi gani.matokeo yakiasi hicho lazima yakutokee haya mawili.ukojowe au upelekwe polisi. safisa mtakatifu,nimekupata vizuri.jumamosi njema wote,Yasinta,Edina na simoni.kaka S.

Simon Kitururu 7:01 pm  

Asnte Mkuu na Jumamosi Kibonge kwako pia!

Ila hapo ulipogusia kiasi cha maji yanywaywo ...umenenepesha kweli HOJA Mkuu!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP