YA DUNIA: Kiatu DESIGNER, nguo DESIGNER na mpaka UKE aka kikojoleo/kuma - DESIGNER!
>> Saturday, April 09, 2011
Siku hizi  kwa WADADA wajanja,...
... mpaka CHOMBO CHA KUCHOCHEA utamu WA  uasherati  kama hamu zikizidi na MUME hajapatikana a.k.a KIDUDE /kuma ,....
.....huwa wanakikarabati aisee KIPENDEZE ili kiendane na WAKATI kama VIWALO tu watingavyo,...
.....huwa wanakikarabati aisee KIPENDEZE ili kiendane na WAKATI kama VIWALO tu watingavyo,...
.....ambavyo ni vitu  DESIGNER!
Kama uliwahi kustukia MREMBO wako GHAFLA kawa mrembo ZAIDI ghafla kupita kiasi /maswala PRADA au GUCCI kidizaini ,...
....katika maeneo anuai ya kikojoleo ,...
.....hebu pata habari hii muhimu KAMA ukiipa umuhimu .....
Dr. Jennifer Gunter aendeleze MJADALA kwa kuongelea zaidi- Ze KIDUDEZ Designer
Au wakati tuko katika swala Dr. David Ghozland afundishe kitu kwa kuongelea -Vaginal Rejuvenation
Ni mambo YA DUNIANI tu haya MKUU ,...
.. na labda wala USIKONDE!:-(
 
  
 Posts
Posts
 
 




2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:
ha ha haaa,mkuu huwa unaniua sana na hizi mada zako,lakini zina ukweli ingawa wenyewe watakasirika
@Papaa Isaack: :-)
Post a Comment