Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

ANGALIZO ALILOLITOA WAZIRI MKUU MSTAAFU CLEOPA D. MSUYA KUHUSU HALI YA UMEME NCHINI LIZINGATIWE.

>> Saturday, September 24, 2011

Mh. Cleopa David Msuya.
Athari ambazo zinaweza kutokea kutokana na Taifa kuendelea kuwa kizani, wananchi wanaotegemea nishati hii kama nyenzo yao ya kujipatia kipato na uhitaji wa Nishati hiyo Mahospitalini, inaweza kutupeleka Watanzania tukaingia kwenye vugu vugu la wananchi kutaka kuitoa Serikali iliyo madarakani kwa njia maarufu inayoitwa 'NGUVU YA UMMA' kama mataifa mengi ya Kiislam yalivyotokea; mfano hai ni Misri.
Hayo yalisemwa na Mh. Msuya wakati alipokua kwenye mjadala wa kitaifa kuhusu miundombinu, nishati na madini katika Wiki ya Maonyesho ya Miaka 50 ya Uhuru yaliyoandaliwa na Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TPSF).

KAPINGAZ Blog inawaomba wahusika walifanyie kazi haraka sana kwa maslahi ya Taifa letu.


Nimetumiwa na :
Henry Kapinga wa KAPINGAZ blog

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP