Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Tatizo la FASHENI ni zamuzamu!

>> Thursday, September 29, 2011

Na haki ya nani kama sasa hivi wewe ni BABU KUBWA,...
....  kuna wadaio KUBALI kuhesabu tu  muda ,...
....  kwa kuwa umzarauye na uyazarauyo huweza kuwa ndio kifasheni yana tako KUBWA hata kifasheni za  mbilimbi!:-(

Swali:
  • Kwani hukumbuki wapendayo watu KIJUUJUU kama lebo ya CHUPI kwa kuwa ni GUCCI  pendo lao ni kijuujuuu?
  • SI unakumbuka kuwa hata  kwa wapendao  TTII KUBWA na TITI DOGO kwa wapendao watu kijuujuu ni zamuzamu na litapendwa lililo kwenye fasheni  hata kama  HOTELI YA MTOTO sio saa sita?

Ndio,...
... kipengele  kitamu sasa hivi KIFASHENI  kwa kuongezewa SUKARI,...
... baadaye hichohicho ni  kwa nyanya , kitunguu , chumvi na PILIPILI inaweza kuwa ndio siri ya wajanja walewale KUDAI WANANOGEWA  na ni wale waliokuwa wanakisifia kisukari TU ndio siri ya TAMUKUNOGA ya  hicho KIDUDE!:-(

Ni wazo tu hili MKUU!:-(


Hebu Amy Winehouse akatizie denge na kunisemea - You Know I'm No Good




Sting aingilie kati kwa - FRAGILE



STING ajaribbu kuzima kwa-Englishman In New York




Au tu Shinehead ndio azime kwa -Jamaican in New York

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP