Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kuna MATATIZO yapewayo MAJINA mazuri mpaka unaweza usiyaoanishe na TATIZO,.....

>> Monday, September 26, 2011

.... lakini  TATIZO labda ni TATIZO tu hata kama kijina  limegeuzwa kuitwa MFADHAIKO wakati kivitendo TATIZO  lionekanalo  kwenye foleni,...
....ni  mdada wawatu kachafuliwa na lijidume KAME lililotokwa mbegu kimfadhaiko  KAMA tu  itokeavyo  kwenye DALADALA.

Swali:
  • Si unakumbuka eti kuna wauguao mfadhaiko  na ugonjwa ukizidi  ni hatari hata hadharani wakiguswa na MDADA?
  • Na si MWIZI hurembeshwa jina na kuitwa FISADI saa zingine kisa  ni MHESHIMIWA?:-(

Ndio,...
..... binadamu  hata TOTO baya la MBWA huweza kulitungia JINA zuri,...
.... utafikiri   kwa kukipa kitu JINA zuri huondoa makali ya ubaya wa kitu!:-(




Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!

Hebu tena Mahotella Queens warudie - Umculo Kawupheli



Simon Mahlathini aingilie kati na kuja na Mahotella Queens katika - Kazet



Au tugewe tu tena -Dikgomo remix

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Unknown 7:52 am  

Nimeipenda picha ya mbele ya Blog.

Simon Kitururu 8:37 am  

Asante Mkuu Mcharia!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP