Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

KASI ZAIDI!! NGUVU ZAIDI!! NA HARI ZAIDI!! TULIAHIDI NA TUMETEKELEZA!! NA NYINGINE; TUMEWEZA! TUMETHUBUTU! TUNASONGA MBEEELEEE!! YA MWISHO NAYO; PIPOOO!!! PAWAAAA!!!

>> Tuesday, September 20, 2011

Hii ni moja ya Shule ya msingi Bukoba - Kagera

'HIZO ZOTE NDIO KAULI ZA WANASIASA'
Wanasiasa watatujia kwa kauli nyingi sana, lakini mwisho wa siku watoto wetu tunaishia kuwapa elimu kwenye mazingira kama haya! ebu muangalie huyo aliye karibu na Mfuko wa plastic, yupo darasani kweli!!! nini anachowaza! Mimi na wewe tutabaki tunahisi tu: Labda hajanywa chai! au anaumwa! La hasha! mazingira hayo yanampelekea kutomsikiliza mwalimu. 
 
 
KAPINGAZ Blog inakwambia "TAFADHALI CHUKUA HATUA, TUWAWEZESHE WATOTO WETU WAPATE ELIMU BORA"
 
 
Imeletwa na:
Henry Kapinga wa KAPINGAZ blog.

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP